Jumamosi, 4 Machi 2017

Manchester united apata kigugumizi kwa bournemouth.

Klabu ya manchester united katika hali isiyotegemewa amepata draw katika mechi yake dhidi ya bournemouth leo.

Manchester united chini jose mourinho wamechishana nguvu kwa goli 1-1 na bournemouth.

Kwa matokeo hayo man united anbakia katika nafasi ya 6 kwa point 46.

Lakin katika mechi hiyo ilishudiwa zlatani ibrahimovic akikosa penalt dakika 72.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni