Jumamosi, 4 Machi 2017

Arsenal ngoma bado mbichi.

Klabu ya arsenal maarufu kama washika bunduki leo imejikuta ikipokea kichapo cha bao 3-1 dhidi ya liverpool.

Liverpool walipachika mabao yao kupitia r.firmino dakika 9' s.mane 40' g.wijnaldum 90+1 huku bao la kufutia machozi likifungwa na d.welbeck 57.


Kwa mchezo huo arsenal atabaki nafasi ya 5 kacheza mechi 26 point 50 sare 5 kashinda 15 lakin upande wa liverpool mechi 27 nafasi ya 3 sare 7 kashinda 15 point 52

.



          

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni